Kifefe
175.6K posts
- Replying to @MariaSTsehai and @SuluhuSamiaJana tar 3 kuna mfanya biashara kahamisha gari 70 zenye usajiri wa tanzania kuingia congo na yeye mwenyewe kahamia congo je wasaidizi wa samia hawamwambii ukweli unahangaika kutafuta wawekezaji wengine wakati walioko ndani wanakimbia mjinga yupi ataleta mtaji wake
- Replying to @MagufuliJPIkiwa umewatendea yaliyo mema watanzania Mwenyezi Mungu akusimamie ktk ushindi na kukupa kibali Machoni pake la hujawatendea yaliyo mema watanzania Mwenyezi Mungu akafute kibali chako machoni pake na kuweka giza totolo ktk uso wako nawe usipate kuiona hesabu ya siku
- Replying to @lifeofmshaba and @MariaSTsehaiWana fanya hivi wakijuwa wanaongoza nyumbu,, wasinge subutu kufanya upumbavu kama wangekuwa wanaongoza binadamu wenye akili timamu
- Replying to @kigogo2014Yesu Kristo akasimama na kusema Tazama Wivu wa Nyumba ya Baba Yangu Utanila,Nawe Ukawe na Wivu Kwa Taifa Lako Hata Ukombozi wa Kweli Utakapo Patikana Maana Bwana wa Majeshi Humnyanyua Mtu Toka Chini Hata Atakapo Yeye
- Replying to @MariaSTsehai and @SuluhuSamiaMwenyezi Mungu asikie kilio cha Watanzania afe na huyu Rais atakae fata ataiheshimu KATIBA ya Nchi maana wanaapa kuilinda KATIBA kwa kushika vitabu vitakatifu ajabu wanainyea katiba na vitabu vitakatifu mchana kweupe
- Replying to @Twaha_Mwaipaya and @kigogo2014Wahaini hao ndugu yangu Twaha
- Replying to @MariaSTsehai and @MagufuliJPTuzidishe Maombi bado Mwenyezi Mungu wetu anayakutulekebishia juu ya madhalimu haya ,,katangulia Dicteta Magufuri bado masalia yake
- Replying to @JamiiForums@SuluhuSamia Tumekusikia Mama na Mwenyezi MUNGU aliye waumba wanadamu amekusikia pia,,Nikujibu hivi Heri yako uliye zaliwa ktk tumbo lisilo kasoro lenye kujaa neema hata nawe ukazaa wanao wenye neema wala wasiione LAANA yeyote ktk ulimwengu huu ambao umepewe na MUNGU uutawale
- Replying to @kigogo2014Kifupi haitakiwi hata msukuma mmoja kuwa ktk nyazifa ya juu ya maamuzi hawa watu wameonyesha umbumbumbu mkubwa sana kwenye uongozi na hakika taifa limerudi nyuma kupitia hawa viumbe WASHAMBA
- Replying to @ChangeTanzania @MariaSTsehai and @SuluhuSamiaLeo naanza kidogo kidogo kutoa point kwa Mh Rais Samia Suluhu kuhusu kesi nimekupa point, Ombi langu nyakati hii ngumu kwa Taifa Letu na ufujaji ulio fanywa tukusihi ikikupendeza Mrudishe Prof Asaad kwenye nafasi ya CAG
- Replying to @HildaNewton21 and @ExMayorUbungoYani mhimili wa serikali kuu unaweza kumfurusha kiongozi wa mhimili mwingine ?? Kama ikiwa hivyo mbona ni hatari sana
- Replying to @kigogo2014Amri za Mungu Usiuwe = Maccm yameuwa Usinzini = Maccm mazinifu Usiibe = Maccm majizi mazoefu Usishuhudie uongo=Maccm ni maongo Ivi kuna kipi katika AMRI KUU ZA MUNGU haya Maccm yalicho bakiza kuto tenda? ILA NENO MOJA PEKEE BWANA WA MAJESHI asema TUMUITE NAE ATAITIKA


