user avatar
#ChangeTanzania
@ChangeTanzania
This is #ChangeTanzania movement of citizens exercising their right to #FreedomOfExpression | for activism contact via WhatssApp & Telegram +1 (862) 438-3337
Tanzania
Joined January 2012
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Report ya Chande imepikwa na watu wasiojua hesabu Wamesema kuna vifo 518 nchi nzima Wakasema vimetoka mikoa ya Dar. 182 Mwanza 90 Mbeya. 80 Arusha. 53 Jumla 405 Hii ni tofauti na 518 kwa 113 , hili gap ni kubwa sana ina maana namba ilitugwa tu
  • user avatar
    Mkuu wa TAKUKURU usiangalie tu idadi ya kesi kuwa nyingi, nadhani tuache kuwa na kazi ya kuwa na Kesi nyingi wakati Kesi baadhi hazina msingi au kubambika, Kesi zisizo na msingi wa kushinda zifutwe maana zinaichafua serikali Pia - Raisi @SuluhuSamia #ChangeTanzania #CAGReport
  • user avatar
    Kosa la barabarani linashughulikiwa kijeshi, hii hali sio sawa, haina usawa Tanzania ina mifumo wa sheria kwa masuala yote, hata maafisa wa serikali wanatakiwa kutumia sheria kama vile kuhusisha @tanpol kwenye suala ya kipolisi #ChangeTanzania
    00:00
  • user avatar
  • user avatar
    TAKUKURU mnajihusisha na Kesi za maida ambazo hakuna rushwa, ni vyema mkahacha vyombo vingine vya serikali kufanya hiyo kazi, Sio shughuli yenu kujiingiza kwenye masuala yasiyo na rushwa, serikali ina vyombo vingine vya kufanya hizo kazi, - Raisi @SuluhuSamia #ChangeTanzania
  • user avatar
    UPDATE KESI YA LISSU Mheshimiwa Hakimu asubuhi ya leo na jana usiku tuliambiwa mwenenedo wa shauri hili utakuwa kwa mtandao na sio kwenye mahakama ya wazi. Tofauti kabisa na shauri. Hatujapewa sababu yoyote ya amri hiyo na maelekezo hayo ya kwamba tutasikiliza kesi hii kwa
  • user avatar
    Nyerere Family member in danger for speaking out
  • user avatar
    Pole sana @mwelentuli hakuna mtanzania anastahili hukumu bila ushahidi , bila mifumo wa mahakama, Kama ulitumika tulitegemea ungepelekwa mahakamani. Viongozi watumia mifumo ya sheria kuwajibisha, majukwaa sio sehemu sahihi inaweza umiza wasio na hatia #ChangeTanzania
  • user avatar
    Katika kupinga ukandamizaji nchini Tunaomba weka sahihi yako kwenye hii petition change.org/p/governament-… Kisha post tweet yenye link hii , ukiumeweka tweet ya kuamasisha wengine pia kuweka sahihi Sign here #NoKodiYaMshikamano
  • user avatar
    Kuna Viongozi nilifanya nao kazi katika chuo kikuu cha Dar es salaam , walikuwa wanaheshimika sana kwa fikra zao, lakini baadaye wakapa madaraka yakawabadilisha kifikra, na kuwa fikra zisizo na maadili ( Corruption of Mind) - Prof Assad #ChangeTanzania
  • user avatar
  • user avatar
    “Siyo sheria ya Bunge, hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inayosema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha” Spika mstaafu Msekwa Pius Msekwa #ChangeTanzania
  • user avatar
    Fear has vanished. The dictator will be removed next. Tanzania will become safe and democratic.
    00:00
  • user avatar
    Haya mambo yana amani tele ni kuweka taratibu tu. #TunduLissuHomeComing imefanyika, CHADEMA wamejisimamia kuhakikisha hakuna fujo, Watanzania ni watu wa amani, Jaribio la kupambana na umati kama huu ni kufanya vurugu tu zisizo na faida #ChangeTanzania Hongera sana RC Kunenge
    00:00