Pinned
Report ya Chande imepikwa na watu wasiojua hesabu
Wamesema kuna vifo 518 nchi nzima
Wakasema vimetoka mikoa ya
Dar. 182
Mwanza 90
Mbeya. 80
Arusha. 53
Jumla 405
Hii ni tofauti na 518 kwa 113 , hili gap ni kubwa sana ina maana namba ilitugwa tu











