user avatar
Abdul Nondo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
@abdulnondo2
National Chairperson -ACT Wazalendo Youth League. Am a Novus Homo.
Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2017
  • Pinned
    user avatar
    Napenda kutoa shukrani kwa Mungu,wazazi ,ndugu jamaa na marafiki,@THRDCOALITION na @humanrightstz, mawakili wangu,uongozi wa chuo.Hatimaye nimetunukiwa shahada yangu ,tuliapishwa kutumia degree zetu kwa maslahi ya umma. Hakika Mapambano ndio yameanza rasmi sasa,shukrani wote
  • user avatar
    Leo tar18/Okt/2020,ni siku ambayo ratiba ya Mbunge Mh.@zittokabwe ana mkutano wa hadhara Mwanga Center.Polis na msimamiz wa uchaguz wanazuia mkutano eti wazir Mkuu @kassim_majaliwa ana mkutano Center.Tumeomba tufanye sehemu mbadala kata yeyote ujiji,hawatak.Tutafanya wote Center
  • user avatar
    Inna Lillah waina Ilaih raajiun.Nimempoteza Baba yangu Mzazi ,Mzee Nondo.
  • user avatar
    "Mkipigwa na askari na vikosi... Vijana na nyie pigeni... Kama wanataka Visiwa vichafuke... Sisi tuko tayari... Lakini sisi hatutaanza" - Juma Dini, Makamo Mwenyekiti @ACTwazalendo . Kama Mwenyekit wa vijana @ACTwazalendo na kwaniaba ya vijana tunaunga mkono kauli ya makamu wetu
  • user avatar
    Nilisema juzi hapa Mwamba asiyetikisika,mwenye mji wake Mh.@zittokabwe amerejea katika mji wake.Wana Kigoma mjini hawana utani ,wameonesha heshima na mapenzi makubwa kwa Mh.@zittokabwe
  • user avatar
    Nimesikitika kusikia kuwa Mwanasheria mkuu kapeleka malalamiko Advocate @Advocate_Jebra aondolewe kwenye uwakili kisa mambo ya Twitter lakini bado hajaondolewa.Tutapinga kwa nguvu zote kusudio hili,kama Taifa tulipaswa kujivunia kuwa na mawakili imara kalba ya Advocate Jebra.
  • user avatar
    Tujifunze kuwa wasikivu jamani,mbona hatuelewi ? Ndugu yetu Rc @makonda_paul unakwama wapi ?Wataalamu na serikali wamekataza mikusanyiko wewe unakusanya watu WHY? Hivi hukuwaza njia yeyote ya kufikisha ujumbe wako bila mkusanyiko? Wananchi nanyinyi mnapaswa kuchukua tahadhari.
  • user avatar
    Mfano nchi ina wapiga kura 500.Wapiga kura 300 wanaunga mkono upinzani katika uchaguzi mkuu.Ila wapiga kura 200 wanaunga mkono CCM.Kura za upinzani zinaweza kugawika mara mbili 150 na 150 kama kila chama kitaenda kivyake.Ila za CCM zitabaki zilezile 200.Tuchague kusuka au kunyoa.
  • user avatar
    Msivunjike moyo kulikuwa ni lazima kuwe na sababu ya mapambano ya kuimarisha Demokrasia.Sababu sasa tunayo hivyo ni subra tuu. Mapambano ya kuimarisha Demokrasia sio mapambano ya kidemokrasia sababu Demokrasia haipo.Kunahitajika mapambano yasio ya kidemokrasia kuleta Demokrasia
  • user avatar
    Kama Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana @ACTwazalendo Taifa.Nitashiriki katika maandamano hayo ya amani kutetea misingi ya nchi yetu na katiba ya nchi yetu inayoruhusu Demokrasia na mfumo wa vyama vingi, uchaguzi huru na haki na kudai tume huru ya uchaguzi sio tume ya Uchaguzi ya CCM.
  • user avatar
    Asilimia 75% ya ilani hii ya CCM 2015-2020 haijatekelezeka na bado miezi kadhaa kwenda katika uchaguzi sijui watatuambia nini. Ukosefu wa ajira kwa vijana,No Demokrasia,No haki za binadamu,Biashara zimekuwa ngumu,No ongezeko ya mishahara,kuna wizi mkubwa wa mali za umma(Ufisadi).
  • user avatar
    Karibu sana Mh.@TunduALissu ,hakika wasio amini ukubwa na uwezo wa Mungu wameuona kupitia wewe.Mungu alionesha ukubwa na uwezo wake kwa kukuokoa katika tundu la kifo baada ya kupigwa risasi 16 ila leo unarejea nyumbani ukiwa mzima wa afya.Mungu azidi kukulinda dhidi ya mahasimu
  • user avatar
    โ€œMkapa alinipa wizara kubwa sana โ€˜Wizara Mambo ya Njeโ€ ingawa nilishindana nae kwenye urais, hakuniweka mbali, hakutaka nipotee kama zilivyo siasa zetu za sasa mtu uliyeshindana naeโ€ -@jmkikwete
  • user avatar
    Mnaweweseka sana badala ya kumuombea kura tena, mnamuombea Corona ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
    00:00