user avatar
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Member and former Party Leader @ACTWazalendo, Tegadalay ተጋዳላይ #HifadhiJamii #Ajira #MaishaNafuu #TheFutureIsPurple #Tanzania #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Mwandiga-Kigoma/Dar es Salaam
Joined March 2010
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Tukubali "ghasia" zilipangwa, kuratibiwa, kufadhiliwa na kutekelezwa. Tukubali watu 518 tu ndio waliouwawa, 758 wamepotea na 448 hawajulikani walipo ( 518+758+448=1,724! Namba 8 imependwa sana na Tume). Jumla watu 1,724 HAWAPO kama matokeo ya hicho kilichopngwa, kuratibiwa,
  • user avatar
    I dedicate this to my friend Deo Haule Filikunjombe. It is his victory and I won't celebrate this as to me the election became meaningless
  • user avatar
    Ninaendelea vizuri. Ilikuwa ajali mbaya sana. Namshukuru Allah kwa kutuponya. Shukran Wahudumu wa Kituo cha Afya Kalya, licha ya changamoto, Huduma ya kwanza imetusaidia. Shukran Madaktari na Wahudumu Hospitali ya Maweni Kigoma. Mimi na wenzangu, mpaka sasa, ni wazima
  • user avatar
    “KUMTOA MAGUFULI KUNAHITAJI MAAMUZI MAGUMU NA YA KISHUJAA KUTOKA VIONGOZI WA VYAMA VYA UPINZANI. BILA YA KUUNGANISHA NGUVU HATOKI”
  • user avatar
    Nimeruhusiwa kutoka hospitali. Nawashukuru madaktari na wauguzi Kituo cha Afya Kalya - Uvinza, Hospitali ya Maweni Kigoma na Hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam. Asanteni sana wote kwa Dua, Sala na maombi yenu. Nataraji kurudi kwenye kampeni siku chache zijazo In Sha Allah
  • user avatar
    Nimezunguka Nchi yetu na kuona hisia za Watanzania. Juzi Mtwara Mjini alinifuata mama mtu mzima sana na kuniambia “mwanangu mmeshindwa kukubaliana Mgombea mmoja? Tafadhali mwanangu jitahidini”. Nilipata uchungu sana moyoni. Watanzania wanataka MABADILIKO. TUNAWAPA
  • user avatar
    Kesho Saa Nne asubuhi nikiwa na Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Taifa Maalim @SeifSharifHamad tutaungana na Viongozi Wakuu wa @ChademaTZ akiwemo @freemanmbowetz na @TunduALissu kuzungumza na Waandishi wa Habari. Tutakuwa Makao Makuu ya CHADEMA
  • user avatar
    Nilipoamka leo nilikutana na ujumbe wa Simu “tutakushughulia labda usirudi”. Nikajisemea lipi jipya watafanya? Azory, Saanane na Kanguye wamewapoteza. Lissu wamemshambulia kwa Risasi ili kumwua. Erick na kina Tito wapo jela. Lipi lipya watafanya? @MagufuliJP SIKUOGOPI aslani
  • user avatar
    Ewe Mwanachama, mfuasi na mpenzi wa Chama cha @ACTwazalendo kura ya Urais wa Jamhuri ya Muungano ni kwa Tundu Lissu @TunduALissu . Huu ni wakati wa Mabadiliko. Tusigawe kura zetu wapinzani. Mimi nitampigia kura Tundu Lissu awe Rais wangu
  • user avatar
    Rais aliyepata sifa kubwa kwa kuondoa Wafanyakazi hewa katika utumishj wa Umma Amekubali ‘kuchaguliwa’ kuwa Rais kwa kutumia Kura hewa. Anawashukuru wapiga kura hewa kwa kumchagua huku akijua ushindi wake ni hewa. Ama kweli kua uyaone! Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Furauni...
  • user avatar
    Watumishi wa Umma wameanza kupandishwa madaraja tangu wiki iliyopita na pia wanalipwa pesa zao. Nawaambia Watumishi wa Umma kuwa hayo ni matunda ya Kazi yetu wanasiasa wa Upinzani kuwasemea. Nawasihi sana watupigie kura nyingi ili tuunde Serikali itakayoheshimu Utumishi wa Umma
  • user avatar
    Hapa bado bukta ya Mashujaa FC tu ……..
  • user avatar
    Kigoma Leo imewakusanya Lissu na Magufuli! Kuna mmoja kajiongezea shughuli ya Kiserikali ili akae kae Lwama. Lakini atakimbia Mji bila kuombwa! Mziki wa MABADILIKO Kigoma ni mnene mno.
  • user avatar
    Nimepata kusikiliza hotuba za kuvunja Bunge kadhaa, 2005 Rais Mkapa. 2010 Rais Kikwete na 2015 Rais Kikwete. Hotuba ya Rais Magufuli ya Leo inashangaza kidogo. Ilikuwa Kampeni zaidi. Ilikuwa hotuba ya kutazama nyuma na sio kwenda mbele. Ni Hotuba ya Rais anayemaliza muda wake