user avatar
Freeman Mbowe
@freemanmbowetz
Former Chairman of the Main Opposition Party in Tanzania CHADEMA, Former Leader of the Opposition in Tanzania Parliament & Former Chairman of DUA.
Tanzania
Joined September 2015
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Tembelea Kurasa zangu rasmi kwenye Mitandao ya kijamii.
  • user avatar
    Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama
  • user avatar
    Hayati Baba Aikaeli Mbowe na Hayati Mama Aishi Mbowe (1977)
  • user avatar
  • user avatar
    Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.
  • user avatar
    Tukutane Dar Es Salaam, Jumatatu Septemba 23, 2024.
  • user avatar
  • user avatar
    Shambulio la Polisi wa Nyamongo, Tarime dhidi ya Mgombea U-Rais, Wabunge, Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa Chadema ni uchokozi usiokubalika. Risasi za Moto na Mabomu yanatonesha vidonda na makovu yetu ya miaka mingi. IGP usiruhusu tabia hii kuendelea. Italigharimu Taifa.
  • user avatar
    Watanzania wenzangu, tuna masaa 24 kwa NEC kuweka Msingi wa Amani ya Tanzania. Mkakati wowote wa kuengua kwa hila wagombea wetu utapokelewa kwa kishindo kikubwa. #NoLissuNoElection!#SasaBasi! Uzalendo uonyeshwe kwa kusimamia haki na si vinginevyo.
  • user avatar
    Kesho & kila J’mosi nitavaa SARE ZA CHAMA CHETU CHADEMA hadi TZ ipate KATIBA MPYA. Azimio hili limependekezwa & kuungwa mkono & Vikao & Mikutano yote inayoendelea nchini. WANACHADEMA wote tuungane, tutambuane, tukilinde Chama & tutetee Uhuru na Haki popote tulipo. Umoja ni nguvu!
  • user avatar
    That’s my Dad! That’s our history! Thank you Dad. You fought for our country independence. I am now fighting for our Country Freedom, Justice and Development!!
  • user avatar
    Kesho J3, 14/6/21 asubuhi, nitaungana na Familia ya CHADEMA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili Mdude Nyagali. Mdude amepitia miaka 5 ya mateso na uonevu usio kifani. Ataheshimishwa kwa kuisimamia Imani! Naamini haki itatendeka.
  • user avatar
    Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali.
  • user avatar
    We thank God for the life of our Brother Charles Aikaeli Mbowe.
    00:00