Shambulio la Polisi wa Nyamongo, Tarime dhidi ya Mgombea U-Rais, Wabunge, Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa Chadema ni uchokozi usiokubalika. Risasi za Moto na Mabomu yanatonesha vidonda na makovu yetu ya miaka mingi. IGP usiruhusu tabia hii kuendelea. Italigharimu Taifa.