ACTWazalendo
25.8K posts
ACT Wazalendo ni Chama cha Siasa Nchini Tanzania kinachoahidi kuleta |ZanzibarMpya |ZanzibarMoja |MamlakaKamili |TaifaLaWote |MaslahiYaWote
- "Kule Bara wameshanambia kua Magufuli atatangazwa kwa asilimia 84% na mikakati yao yote nimeshaambiwa na mimi nataka nikutane na Lissu nimpe mikakati hiyo na nimwambie kua, akiweza kuzuia mikakati hiyo wamekwisha hawa". @SeifSharifHamad akizungumza na Timu za Ushindi muda huu.
- "Mukinichagua nitapanda ndege mwenyewe nikachukue watu wangu (Mashekhe). Hili sitomtuma mtu". - @SeifSharifHamad #MkutanoWaKampeniPwaniMchangani
- Tumepata taarifa Jeshi la Polisi wilayani Mbinga limepiga mabomu ya machozi na kumkamata Mwenyekiti wa CHADEMA Ndg. @TunduALissu jioni ya leo baada ya mkutano wa hadhara. Tunalaani vikali matumizi ya nguvu, uonevu na ukandamizaji wa shughuli halali za vyama vya upinzani. Tunatoa
- "Mimi napiga Kura katika Kituo cha Garagara na nategemea kesho saa 2:30 asubuhi kwenda kupiga Kura. Ni haki yangu". Maalim @SeifSharifHamad
- From 16 shots to survival, from being a lawyer to being a President. Tundu Antiphas Lissu - the 16 bullets survivalist and the President of United Republic of Tanzania. @TunduALissu "A man of God's miracles".
- Humphrey @hpolepole njoo huku kuna salamu zako kutoka Viwanja vya Mbuzini Kisiwani Pemba. "Ikiwa kashindwa Nyerere, utaweza wewe Pole Pole?".
00:00 - October 19 ni siku ya kihistoria nchini mwetu. Hawa wote watakua pamoja kutoa muelekeo na muongozo sahihi kuelekea October 27 na 28, 2020. #ChaguaTunduLissu #ChaguaMaalimSeif
- "Watawala wamepanga kunidhibiti ifikapo tarehe 27". - Maalim @SeifSharifHamad #MkutanoNaWaandishiWaHabari
- @kigogo2014 kawaumbua ZEC na katusaidia sana. Ndio maana mpaka sasa hivi hawataki kulitoa daftari". - Maalim @SeifSharifHamad #UzinduziWaTimuZaUshindiPemba
- "Jana nilisema na leo nasema tena. Potelea mbali! Wakikupigeni na nyie wapigeni". - Juma Duni Haji. #MkutanoWaKampeniTumbatu

















