user avatar
Sem
@Semkae
Director, @Policy_f. #MTAMO Montani Semper Liberi. Suji.
Tanzania
Joined April 2009
Posts
  • user avatar
    Asanteni. A friend in need is a friend indeed. The enemy of your enemy is your friend 😀. #Tanzania #Kenya
  • user avatar
  • user avatar
    Abiria aliyelipa nauli yake kwa mpesa tafadhali arudishe muamala wake ashuke akatoe hela mwenyewe kwa wakala kabla hatujaanza safari.
  • user avatar
    Hakuna hata mmoja kavaa kijani hapo
  • user avatar
    Mchungaji David Mbaga ana ujumbe wenu viongozi wa dini mnaochanganya mambo.
    00:00
  • user avatar
    Siko tayari kuwa mjinga
    00:00
  • user avatar
    Kipindi hichi cha COVID-19 kimenifanya niwaangalie viongozi wa dini wa Tanzania kwa jicho tofauti.
  • user avatar
    Style ya Nyerere ukimpelekea majungu: Anakuita urudi kwake siku nyingine, ukifika unamkuta yule uliyemfitini naye yupo. Anakwambia: "hebu rudia mbele ya mwenyewe yale maneno uliyoniambia siku ile." Baada ya kufanya hivyo mara kadhaa, watu waliacha kujikomba kwa kumpelekea majungu
  • user avatar
    As always, peaceful transition of power in Tanzania. 🇹🇿
  • user avatar
    Ukiulizwa unakaa wapi ukajibu Kigamboni ghafla watu wanakuwa wakarimu kwako.... "bill yake ya vinywaji lete kwangu." 🤔🤔🤔
  • user avatar
    Kama umeiona hii tweet basi huisomi kwa bahati mbaya. Kuna mazuri yatakujia wewe hapo ulipo. Ndiyo, wewe unayesoma haya maandishi. Mungu yuko nawe.
  • user avatar
    Mama SSH @SuluhuSamia mbunge wangu mpendwa @DocFaustine namsemelea kwako leo analazimisha tutumie VPN humu twitter. Yeye na TCRA wanajidai hawajakusikia vizuri.
  • user avatar
    Tuliosoma Ireland 🇮🇪 tumeelewa.
    00:00
  • user avatar
    Kutoka Moshi: @Bongo_Zozo apokea kwa moyo mkunjufu jukumu lake jipya la ubalozi wa utalii alilopewa na @HKigwangalla. Aahidi kuitangaza Tanzania nchini UK.
    00:00