user avatar
Kisu Cha Buchani #KCB
@NikkiZohan
Emcee/Rapper/Beat Maker/Actor and Host Contact:+255654600065/+255747828275
Tanzania
Joined August 2012
Posts
  • Pinned
    user avatar
    PLATA O PLOMO ALBUM is officially out and available at Tsh 25,000. Payment numbers on my profile!
  • user avatar
    Na ukitaka ganja kali ni Sinza kwa #KAPACHINO....R.I.P RASTA
  • user avatar
    Leo ni kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa ambayo hata @chapo255 haijui zaidi ya kuniandika habari za kipumbavu na kuaminisha UMMA ujinga,sijamsamehe mpaka atakaponiambia alipotoa taarifa alizoandika juu yangu....Kama anadhani kuniblock ndio solution mwambieni Dunia Mtaa.
  • user avatar
    Kipindi cha Salama Na cha @EceJay akimaliza kuhoji watu walewale kinaisha anakuja na kingine cha kuhoji watu walewale kinaisha tena !
  • user avatar
    Jamaa yenu lazima ATAOMBA interview ila mimi SIJAOMBA niliitwa hahahahha😅😅
  • user avatar
    Mtoto wa kiume anafanya mambo ya kike mitandaoni halafu anapata comments,views na likes nyingi toka kwa wanawake na yeye anaendelea tu. #KomboaMtotoWaKiume
  • user avatar
    Nimecheka sana jana jamaa ananidiss kwa mistari yangu iliyo kwenye SIHUSIKI NAO.....Kaandike tena ile FUTA utachekwa MAWENGE 😎
  • user avatar
    Msilazimishe nimtambue mtu,sijapost interviews zao ila wao wanapost zangu. Mdwanzi kayataka halafu anaenda kujiongelesha aonewe HURUMA na UMMA,nenda studio we si msanii?
  • user avatar
    Interviews za kujidhalilisha mambo yenu ya ndani wanawapa ila shows za kuwalipa muendeshe maisha yenu wanawatosa na bado mkifika redioni mnafunguka utadhani baada ya hapo watawalipa kumbe kujichoresha tu.
  • user avatar
    Kijamaa kinaona kimeoa mwanamke mzuri kuliko wote Duniani 😎Kumbe hata Jasiri angekuwepo angemuonesha NJIA....Panaitwaje pale Sinza?
  • user avatar
    Huyo ADAM MCHOMVU mwenyewe anayekuongopea alishawahi kununua SAUTI YA JOGOO akawa nayo kwenye gari mpaka imechubuka na hapigi REDIONI,nilimuuliza akasema hajui tatizo....That's when I stopped fucking with them...Eti leo wewe ndio unatimiza ndoto zako kupitia waliojaribu kutuua.
  • user avatar
    Media za Bongo bwana,eti Roma katoa ngoma halafu kakimbia....Kwa lipi la ajabu aliloimba kwenye huo wimbo alioutoa kabla hajaondoka?Mbona hamna cha kustaajabisha at least hata nyimbo za zamani au angekimbia ilipotoka ZIMBABWE...Acheni kukuza mambo kwenye MKOMBOZI nini cha hatari?
  • user avatar
    Ngoja nimtafutie KASUKU wenu maneno ya kuongea leo.
  • user avatar
    Kwa jina la HIP HOP......Amen 🙏🙏🙏