user avatar
SANUKAnaCHAPO
@chapo255
|Bongo Flava | Owner @usedpointtz 💻| Upande Shekh upande Ninja |
Tanzania
Joined January 2016
Posts
  • Pinned
    user avatar
    MICROSOFT SURFACE laptop 2 •8th Generation •Intel Core i5 • 8GB RAM • 256GB SSD • 14 HD Display • ⁠Touchscreen • ⁠Face ID • ⁠USB port • ⁠Windows 11 pro Bei: 850,000/= Tu📌 DSM FREE DELIVERY ☎️0788106694
  • user avatar
    Kitu ambacho Konde alifanikiwa bila kujua ni kupata collabo za Burna Boy mapema kabisa kabla mambo hayajawa mengi na kwa urahisi zaidi.
  • user avatar
    Mchizi anahitaji mshauri mzuri.
  • user avatar
  • user avatar
    Kafanyaje mbona ana trend?
  • user avatar
    Jamaa mtu sana!🙌🙌🙌
  • user avatar
  • user avatar
    Wahuni hawatumii nguvu sana, mwili unanyumbulika wenyewe
  • user avatar
    Kazini kwa Diarra kuna kazi
  • user avatar
    Kenya wanajaribu kutuonesha uwezo wao
  • user avatar
    Hakuna maumivu makali moyoni Kwa kijana asiye na ajira kama inafika asubuhi hujui ataenda wapi.
  • user avatar
    Hii nchi ina nini? 😂😂
    00:00
  • user avatar
  • user avatar