user avatar
millardayo
@millardayo
Award winning TV/Radio Personality | Hosting Amplifaya on CloudsFM |Journalist from Tanzania covering East Africa and beyond | Bookings [email protected]
Born January 26
Joined April 2010
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Kesho Jumamosi June 6 Timu ya Millard Ayo Estates itaambatana na Watanzania wanaotaka kujionea eneo linalouzwa la eka mia tatu za viwanja vya kujengea Viwanda ( linaloonekana kwenye hii picha ) linalouzwa katika eneo la Zinga, Bagamoyo Mkoa wa Pwani ambalo sasa ndio lipo katika
  • user avatar
    A VERY BIG THANKS kwa yeyote aliyewahi kutumia hata kwa dakika 1 tu kwenye youtube ya millardayo, MUNGU ANA MAGUVU SANA tumefikisha VIEWS BILIONI MOJA, Youtube wametupongeza na kusema nimekua MWANDISHI/MEDIA ya kwanza AFRIKA nzima kupata 1 BILLION VIEWS!! ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐ŸฟMAKUBWA YANAFATA !!
  • user avatar
    ๐Ÿ“Billnass weds Nandy !
  • user avatar
    Hatimaye Msanii nguli wa Tanzania Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay amerudi tena kwenye mitandao ya kijamii kwa mara ya kwanza leo ikiwa ni baada ya siku zaidi ya 462 za kutokuweka chochote kwenye kurasa zake baada ya kuugua na kulazwa Hospitali ambapo kwenye post yake leo
  • user avatar
    ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
  • user avatar
    Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA), limemchagua Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC Simon Patrick kuwa Mwanasheria wa FIFA anayeshughulikia masuala ya migogoro ya Wachezaji Duniani kote kwa kipindi cha miaka mitatu. #MillardAyoSPORTS
  • user avatar
    Kama wewe ni Yanga na Timu yako imekufurahisha leo tafadhali jitambulishe kwa emoji mbili nzito..
  • user avatar
    Nafahamu wengine ndio tunaianza night shift kama mimi mida hiiโ€ฆโ€ฆ.. sasa nina elfu 30 tatu kwa Watu watatu ambao reply zao hapa hazitopata like hata moja!! TWENDE KAZI ๐Ÿ˜
  • user avatar
    #BREAKING: Aliyewahi Kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Camilius Membe amefariki dunia leo asubuhi Katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni Jijini Dar es salaam. Aliyekuwa Msaidizi wa Membe, Allan Kiluvya ameithibitishia @ayotv_ kuhusu kifo cha Membe
  • user avatar
    Uongozi wa Young Africans Sports Club umetoa taarifa kuwa umefikia makubaliano ya kuachana na Kocha wake Nasreddine Nabi baada va Kocha huyo kuomba kutoongeza mkataba mpya. โ€œMkataba wa Kocha Nasreddine Nabi na Klabu ya Young Africans Sports Club umemalizika mwisho wa msimu huu,
  • user avatar
    About last nightโ€ฆ
  • user avatar
    RT moja ya heshima kwa Simba tafadhali hata kama wewe sio Simba
  • user avatar
    Hapo vipi Mazee ? umekubali mzigo mpya wa Msimbazi kwa asilimia ngapi ?
  • user avatar
    Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G. Habash amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokua amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu. #RIPCaptain ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ