user avatar
khalifa said #SUDAN 🇸🇩 ☭🌹
@ThatBoyKhalifax
writer and editor at @TheChanzo | politics & social justice | formerly at @TheCitizenTZ | socialist | rap | anti-imperialist | views are my own, not anyone’s.
Dar es Salaam, Tanzania
Born October 20
Joined March 2014
  • Pinned
    user avatar
    nobody got to know that i killed yo’ ass in the mist, bitch!
  • user avatar
    sheikh ponda hana sababu yoyote yakuipigia kura ccm. imemsulubu na kumdhulumu sana. waislamu hawana sababu yoyote ya kuipigia kura ccm. imewatesa na kuwaonea vya kutosha. watanzania wote hawana sababu yoyote ya kuipigia kura ccm. imewaonea na kuwatukana kupita kiasi. inatosha!
  • user avatar
    upumbavu ni nini? upumbavu ni kujifanya unawajali Wamaasai na kupenda utamaduni wao, yakiwemo mavazi, wakati huna historia ya kusimama nao kwenye harakati zao dhidi ya dola linalolenga kuwaondosha kwenye uso wa dunia. alichofanya almasi ni matusi kwa Wamaasai.
  • user avatar
    mkapa killed my people, i won’t mourn his death
  • user avatar
    when i was fired in march this year one of the very first people to reach out to me was mr @godbless_lema, then arusha urban mp (chadema). mr lema told me i should worry about absolutely nothing and in case i need anything he'd personally take care of it. i'll never forget him!
  • user avatar
  • user avatar
  • user avatar
    The Chairperson of the African Union Commission, H.E. Mahmoud Ali Youssouf, takes note of the results of the presidential election in #Tanzania and congratulates H.E. President Samia Suluhu Hassan for her victory. The Chairperson deeply regrets the loss of human life during
  • user avatar
    upinzani hautokufa. utaimarika ili iifanye ccm ilazimike kuuwa, kuteka, kujeruhi na kuweka watu gerezani wengi zaidi ili iweze kujipatia ushindi. upinzani nchi hii utaimarika zaidi ili iigeuze ccm badala ya kuwa chama cha siasa kiwe ni kikundi cha magaidi. sema amen!
  • user avatar
    sasa mnaona kwamba sheria inayosema ili mtu awe mwandishi wa habari ni lazima awe na diploma au degree ni sheria ya kipumbavu sana. mmejionea namna kazi ambayo tulipaswa kuifanya sisi waandishi hatuifanyi na inafanywa na mtu asiyejulikana kama mwandishi, bwana Martin.
  • user avatar
    katibu mkuu wa chama kinachopinga ubeberu tanzania akiwa na balozi anayewakilisha nchi ya kibeberu hapa nchini.
  • user avatar
    maaskofu hawajasukumwa na chuki za kidini dhidi ya samia. aliyefanya makosa ni rais kwa kukubali kuingiza tanzania kwenye mkataba mbovu. nchi hii ina watu wa dini mbalimbali na wasiyo na dini. lakini wote ni watanzania na wana haki ya kujadili mwelekeo wa nchi yao!
  • user avatar
    i like listening to #tundulissu for there are so many things to learn as far as the history of this country's concerned. he's a history & political class on it is own. lissu doesn't speak like regular politicians do. he speak as an intellectual who's passionate about justice!
  • user avatar
    magufuli fucked this country up, i hope he’s burning in hell right now!