user avatar
Dr. Norman Jonas
@NormanJonasMD
Medical Specialist | Head of Community Based Health Program- HPS | Department of Preventive Services | Ministry of Health - Tanzania.
tanzania
Joined July 2013
  • Pinned
    user avatar
    "It's Always A Beautiful Day To Serve For Lives ❤️"
  • user avatar
    Replying to @BBCAfrica
    Strange How BBC covers Africa story....Very strange. They Always pray for the worst.
  • user avatar
    Madaktari na sisi tuna ombi; Tunahitaji gharama za kulipia leseni za kila mwaka ili kuweza kutoa Huduma ya afya zifutwe. SABABU KUU: Hatufanyi biashara; tunatoa huduma. Asante 🙏
  • user avatar
    Hello @VodacomTanzania ; anastahili kuwa wakala bora ikiwezekana mfanyakazi bora 🙏🏾 Mtafuteni mpeni ajira ya kudumu anawapambania @besiimp
    00:00
  • user avatar
    Askari Trafiki Bora , anastahili pongezi 👉Ni mfano wa kuigwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona cc. @umwalimu @elimuyaafya @wizara_afyatz @JamiiForums
    00:00
  • user avatar
    Heading Moshi kuanza maisha mapya 🙏🙏
  • user avatar
    Dah; Nimeamka hapa nataka nikapite round nikakumbuka kauli ya Herode “I am not a paid slave” Inauma 🤧🤧 Early Birds…
  • user avatar
    Ishawahi tokea umelala ghafla inatokea hali huwezi kuongea wala kujisogeza na kuhisi kama unakabwa ila huwezi jitetea. Hali hii huitwa "SLEEP PARALYSIS" 🔵Hili Jambo lina nadharia nyingi za kijamii, kidini , kishirikina nk Nagusia kisayansi kama una nadharia yako share chini👇
  • user avatar
    Inapotokea mtu mmoja ndani ya familia amekutwa na maambukizi ya virusi vya homa ya ini aina B (Hepatitis B) basi ni vyema ndugu wote ndani ya familia ikiwemo mpenzi/mwenzi wote wakapima Hepatitis na kama hawana maambukizi ni vyema wakapata chanjo ya kuwakinga. | #ElimikaWikiendi
  • user avatar
    Zoezi la kukimbia (jogging) 🏃🏿‍♂️na mazoezi ya pumzi (aerobic) husisimua sehemu ya ubongo 🧠 inayoitwa "Hippocampus" sehemu inayohusika na utunzaji wa kumbukumbu na kujifunza. 🔵 Mazoezi ya kukimbia na pumzi huboresha uwezo wa akili, akili kutulia na kuimarisha uwezo wa kujifunza.
  • user avatar
    Hi, Dkt. Norman hapa; Natumia hii akaunti kwa miaka 11 sasa kwa lengo kuu la kuelimisha na kuhamasisha watu kuhusu Afya. Wastani watu milioni 1.5 nawafikia moja kwa moja kwa mwezi Leo naadhimisha Siku ya kuzaliwa🎂🎂 ✅Ndoto yangu ni uelewa kuhusu afya ufikie wengi zaidi.
  • user avatar
  • user avatar
    Mtu ananyoa uwanja kwa ajili ya mechi leo leo😅 Kitendo cha kukwangua nywele huacha michubuko midogo midogo ambayo huwa njia ya kuambukizana magonjwa ya zinaa ikiwemo virusi vya UKIMWI na Hepatitis🤔 Next time ukiwa na miadi nyoa siku kadhaa nyuma #UshauriWaKipumbavuWenyeMaana
  • user avatar
    Master of Medicine in Internal Medicine - Kilimanjaro Christian Medical University College 2⃣0⃣2⃣0⃣ ➡️➡️ 2⃣0⃣2⃣4⃣ 🔥🔥🔥 #AlwaysBeautifulDayToServe