user avatar
Halima James Mdee
@halimamdee
....................
Dar es Salaam,Tanzania
Joined May 2011
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Hatimaye LEO NIMEKAMILISHA safari nyingine ya MIAKA 5 ya UTUMISHI, nikiwakilisha JIMBO la KAWE kwenye BUNGE la J/ Muungano wa Tanzania. Asante sana WANANCHI wa KAWE kwa HESHIMA hii KUBWA, ASANTE sana CHADEMA kwa kuniamini, Asanteni sana WATANZANIA wenzangu!! Tunasonga ๐Ÿ˜๐Ÿ˜โœŠ๐ŸฟโœŠ๐Ÿฟ.
  • user avatar
  • user avatar
    Ninatuhumiwa ETI NINAMILIKI na NIMEFUNGA MTAMBO wa MAWASILIANO nyumbani kwangu.... unaoingilia MTAMBO wa TCRA!!!! kiherehere changu cha kwenda KURIPOTI wahalifu kikaishia pale pale...NCHI yetu inahitaji REFORM kubwa sana! Majeshi yetu yanatakiwa yaimarishwe na kuongozewa uwezo.
  • user avatar
    Tuna MENGI sana ya KUJIFUNZA KWENU!!! MENGI MNOOOO!! Hongereni SANA!!
  • user avatar
    ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ !!!! Dah!! Kiburi choooooooote...... kumbe FAMBA tu!!
  • user avatar
    Uchaguzi HUU , UMENIPA faraja moja kubwa sana .....kumbe @MagufuliJP unajua hukubaliki wewe wala CHAMA chako, maana sio kwa WIZI huo wa KURA tena wa KITOTO.... lakini YOTE kwa YOTE...KILA MMOJA wenu ATALIPA kwa WAKATI wake! DHULUMA hii, haito waacha salama KAMWE..hata mkituua.
  • user avatar
    Salaam Ndugu zangu wapendwa sana!! Kwa HESHIMA kubwa SANA! Naomba kutumia FURSA HII kuwashukuru SANA kwa UPENDO na MSHIKAMANO wenu kufuatia HUKUMU iliyotolewa dhidi yetu tarehe 10/3. Leo mimi , Ester Matiko na @esteramosbulaya tuko HURU kwa sababu YENU!! Asanteni SANA!๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
  • user avatar
    Nimesha KABIDHI FOMU ya kuomba ridhaa ya UTUMISHI wa UMMA Jimbo la KAWE.... !!Nimesha JIKABIDHI kwa MWENYEZI MUNGU,na KUMUOMBA ANIONGOZE vyema katika SAFARI ya KUTAFUTA HAKI!! Naomba mniweke kwenye MAOMBI yenu. Kwa MTAKAO WIWA.... karibuni SANA KAWE. โœŠ๐ŸฟโœŠ๐Ÿฟ
  • user avatar
    Nimepata Taarifa NIMEFUNGIWA kufanya KAMPENI siku saba kuanzia tarehe 12-18/10/2020. Hukumu ilikuwa imesha andikwa kabla ya KIKAO cha Maadili. TUTAWEKA WAZI USHAHIDI tulio uwasilisha. NJIA moja ikifungwa....tunafungua nyingine.
  • user avatar
    WANA DAR ES SALAAM..... kwa heshima na taadhima, NAOMBA kuwakaribisha kesho 27/10/2020, Viwanja vya TANGANYIKA PAKERS-KAWE...TUTAKUWA na MGOMBEA URAIS kupitia CHADEMA, Ndugu TUNDU LISSU kuanzia saa TANO ASUBUHI.. karibuni SANA. Ndio MKUTANO utakaohitimisha KAMPENI ZETU.
  • user avatar
  • user avatar
    ๐Ÿ˜ค๐Ÿ˜ค๐Ÿ˜ค!
  • user avatar
  • user avatar
    Kesho nitaripoti POLISI....kuna watu wananifuatilia NYUMBANI kwangu , wanaongeza DAU kwa NYUMBA ya JIRANI yangu ( Ghorofa ambalo halijaisha) ili waweze kodi CHUMBA ILI WAFANYE yao!! Nilisema JUZI... naona HAMJAKOMA, leo mmekuja tena na kuogeza DAU!! Tusilaumiane!