Who’s to blame if repression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise to his feet! Whoever is lost must fight
UWANAHARAKATI wa Haki za binadamu, UHURU wa Mahakama, UTAWALA wa Sheria si mapambano dhidi ya Serikali.
Serikali inayopenda HAKI itawakumbatia wanaharakati wa aina hii. Serikali inayopenda DHULMA itawaona ni ADUI.
Sijasahau maneno haya. Nilishangaa walivyomshangilia mtu anayesema angepoteza watu. You people are not SERIOUS @CCMTanzania. Endeleeni kucheka na kupiga makofi!!!
Nancy Pelosi ana miaka 80 na bado anapiga SPANA 🔧 🔧 nyingi tu. Mimi nina miaka 51, Mungu akinipa uhai nina miaka zaidi ya 30 ya kupiga SPANA. Siendi popote.🤣🤣
Innalillah wainnaillahy rajioun Leo nimeamka na huzuni. Aunty yangu Mpendwa Amne Rifay, mke wa Salim Ahmed Salim, amefariki dunia. She only ever showed me love. I will miss her loads.
Ahsanteni nyote mlionitakia siku njema ya kuzaliwa. I celebrated it yesterday in the company of people I 💕 and for that I am grateful. Nakutakieni siku njema.