Kila Mwenye Mtihani, Allah amuondolee, Kila Mwenye Mazito Allah amfanyie wepesi na kila anae uumwa, Allah amponyeshe. Ameen. Juma’a Kareem.
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
42.5K posts
Radio presenter/TV Host| MC | PR executive| Philanthropist| Reggae sista....yurrr!!!
Tanzania
Joined April 2011
- Nimechoka, nimechoka Sana na hizi Taarifa za Mtoto wa kiume kulawitiwa! Ewe Baba, ewe Mama, ewe Kaka, ewe Dada, ewe Jirani, ewe Rafiki, ewe Serikali… Mlinde Mtoto wa Kiume!!!!
- Obey Allah & Allah will Reward You. Juma’a Kareem 🙏🏾
- Hivi, Mbona Dini nyingi zina utofauti kwenye Dhana ya Mwenyezi Mungu, ila Shetani ni huyo huyo mmoja?
- Alhamdulillah...Mwenyezi Mungu ameniongezea Mwaka Mwingine, siku ya Leo. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunileta Duniani na kunilea. #LionHeartDay👊🏽
- Kuwa na mtu anaelewa akili yako, fikra zako na hisia zako ni aina nyingine ya kileleni😉
- Ulikuwa na umri gani ulipojua “Mask” kwa kiswahili inaitwa “Barokoa”?
- Naomba niulize, Kwa nini Leseni ya udereva Ina expiry date? Ina maanisha ujuzi wako ina expire na tarehe? Why does it need an expiry date? Ninaelewa Kama umeongeza ujuzi wa udereva unaweza ku-renew license... but expiry? Sielewi
- Sasa ngoja nikupe stori.Nilikuwa nimezoea kutongozwa kwa “Vingereza” miaka yote, Mara nilipopatana na kiswahili kutoka pwani, Msa na Zanzibar, MaashaAllah! Ikawa Kama Mashairi masikioni mwangu🥰kuna Namna Kiswahili kina amsha hisia ndio Maana “Nakupenda” ni bora kuliko “I love u”
- Hivi ushawahi kumwambia mtu “Nakupenda” alafu hakujibu? Ukafanya je?







