Pinned
Replying to @lifeofmshaba
Rais Samia Tunae na Tunatamba nae ni Mzalendo na Mchapakazi Kwa Maslahi Mapana ya Tanzania,
Watanzania Tunamkubali na Tunaendelea nae 2025-2030,
Kazi na Utu Tunasonga Mbele na Dkt Samia Suluhu Hassani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Oktoba 2025 ni yeyeeeeh SSH πΉπΏποΈβ
,





