Watu walianguka kcse wote hufikiria they're street smart
Korvo
87.2K posts
- Ukifika mid 20's huwa unaanza kuelewa mbona watu huget into drugs na wengine kuji ice
- Watu wa reggae husema positive vibes only alafu wanaibiana simu
- Form 3 mans aliwahi iva before lesson alafu akaambiwa asome paragraph akasema Doctor Congo badala ya DR Congo.
- Ukispend usiku kwa in laws unafaa kuwaambia wafungie mbwa utalala nje uki guard boma
- Ni nini ushawahi pata kwa nyumba ya msee ukashangaa venye aliipata? For me ni trolley ya supermarket.
- Bei ya office space ikishuka kuliko ya residential tunahamia sixth floor kuishi katikati ya law na audit firms.
- Labda siku ya games380+ inaeza ingia Kenya high wakubwa?
- Young couples sahii wanesimama stage matatu zinawapita tu sababu wanangoja yenye iko na space ya watu wawili pamoja hawataki kuketi separately.
- Bachelors huwa tunapigilia duvet kwa sides za kitanda na misumari. Ukiamka unatoka kama document kwa bahasha.
- Mamako akisema bibi abebewe kwa side mirror kama samaki you do it very fast.
- Last born akitumwa mkate na kiberiti:
- Ukirudi kwa nyumba unafaa ku whistle ukiwa kwa gate alafu bibi, watoto, pets na pot plants wanapanga two parallel lines kukupea guard of honor kama team imeshinda premier league.
- Unalipa 300K kujoin army alafu unaenda kupepetwa na mjamaa amevaa sandak na arafat


