user avatar
Haki Ngowi
@Hakingowi
๐ŸŒ Official X(Twitter) Page Of Haki Ngowi ยฎ ๐Ÿ’ป๐Ÿ“ฑ Post(Tweets) From Haki Ngowi are signed hn+
Tanzania
Joined June 2009
Posts
  • user avatar
    Rais Mstaafu Dr. Jakaya Kikwete amewasili jijini Tanga nyumbani kwa Bondia wa Kimataifa Hassan Mwakinyo kutoa mkono wa pole kwa familia kufwatia Bondia Mwakinyo kufiwa na Mama yake Mzazi Bi Fatuma Hassan Siri.
  • user avatar
  • user avatar
    ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ-1 Naomba Retweet ๐Ÿ” na Like โค๏ธ za Kutosha Mpaka Ujumbe umfikie Mchoraji huyu Mahiri wa Taswira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
  • user avatar
    ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโ™ฅ๏ธ๐Ÿ™๐Ÿฟ โญโญโญโญ(4 -Star General) Asante Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi-CDF Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo Kwa Utumishi Wako Uliyotukuka Kwa Taifa Lako . Retweet ๐Ÿ”„ โ™ฅ๏ธ Like Share โคด๏ธ
  • user avatar
    ๐Ÿ“Oslo,Norway ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Rais Samia Suluhu Hassan.
  • user avatar
    ๐Ÿ”ตUTEUZI Rais Samia Suluhu Hassan amemtea Kuruthum Amour Sadik kuwa Mkurugenzi Mtendaji Mteule Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani
  • user avatar
    ๐Ÿ”ดTANZIA ๐Ÿ“ƒ:Ratiba ya Kuaga na Mazishi ya Marehemu Vivian Mbowe
  • user avatar
    ๐Ÿ“Dodoma โ–ช๏ธSoma majina ya waliyoteuliwa kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Chipukizi CCM-Taifa โ–ช๏ธYupo Mtoto wa Msanii Shetta ,Ndg . Qailah Nurdin Bilal
  • user avatar
    ๐Ÿšจ NEWS ALERT โ€ผ๏ธ Pakua Mkeka wa Nauli na Ratiba za Treni Mpya ya Kisasa (SGR) Dar es Salaam -Dodoma
  • user avatar
    ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿฟโ€๐ŸŽ“Mjue Binti Msomi Mtanzania Neema Mduma,PHD ๐Ÿ‘ฉ๐Ÿฟโ€๐ŸŽ“:Neema Mduma is a computer science professional working as a lecturer in the school of Computational and Communication Sciences and Engineering (CoCSE) at the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST).
  • user avatar
    ๐Ÿ“Songea โ–ช๏ธAliyekuwa Mpambe -ADC wa Rais Jakaya Kikwete na Rais John Magufulu Meja Jenerali Mkeremi ala Nondozzz Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy leo hii tarehe 14 Disemba 2023 ametunikiwa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa (Doctor of Philosophy-PhD) kutoka Chuo
  • user avatar
    ๐Ÿ”ดUTENGUZI Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Bi Jane Nyamsenda ambaye Uteuzi wake umetenguliwa Jana na Rais Samia Suluhu Hassan
  • user avatar
    ๐Ÿ“ธ:Picha ya Wiki โ€ฆUnamjua Nani Hapo? ๐Ÿ“ฉ:Comment Ziwe Fupifupiiiโ€ฆ.. ๐Ÿ“ธ:Issa Michuzi
  • user avatar
    ๐Ÿ”ดTANZIA: Mjukuu wa Baba wa Taifa Mwalimu Juliue Kambarage Nyerere,Dada Sophia Nyerere, amefariki Leo Jijini Dar es Salaam ... Habari zaidi zitawajia Punde