Mtoto wa kike unaondoka nyumbani huna ratiba unazurura kama mwenge wa Jamhuri,unajidai,unajiamini una mdomo mkavu na kauzu kama Dagaa kisa tu uzuri wako ndio unakuvuruga! My Dear utayachosha tu maungo Yako ya uzazi,sisi wanaume hatuzeeki! Tuombe uzima!