user avatar
Associate CPA Catherine Ruge (Msubhati)
@CatherineRuge
UN -empower women champion for change.. Former Member of Parliament of URT of Tanzania 2017-2020, Human Rights Activist, Proudly Mother of two boys ๐Ÿง’
Serengeti, Mara, Tanzania
Joined October 2016
  • Pinned
    user avatar
    *USHURU WA KAMPUNI ZA BETTING* Ushuru wa bidhaa (excise duty) wa asilimia 5 kwenye thamani ya dau (bet) umeanzishwa kwa majukwaa yote ya kamari. Hii kodi ni kubwa ukilinganisha na nchi nyingi ambazo hutoza kodi kulingana na mapato halisi ya kampuni za kamari (gross gaming
  • user avatar
  • user avatar
    Polisi wilaya ya Serengeti wanaongoza unyanyasaji dhidi yangu tar 10/7 walinipiga Mabomu, leo wamenipiga ngumi na Mateke nikiwa ofisi za Tume wamenidhalilisha kwa kunichania nguo, Afande Gerald amenishika Kiuno na Makalio, huu ni udhalilishaji. I swear you'lpay for this @tanpol
  • user avatar
    Best reporter so far on 23/09/2024. Hongera โฆ@Salymโฉ .
  • user avatar
  • user avatar
    Namshukuru Mungu nimerudi uraiani baada ya kushikiliwa na @tanpol kwa siku nne! Asanteni wote mliopaza sauti juu ya uonevu huu! na ukiukwaji wa sheria. Mapambano yanaendelea.!๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช
  • user avatar
    Namshukuru Mungu nimefika Kijijini salama, land of my ancestors. #MyRoots
  • user avatar
    @HKigwangalla naomba usiniandikie Message za Vitisho tafadhali. Mimi sio CAG. Mjibu CAG. Unasema utanipela Kortini na sina Pesa ya kukulipa. Naomba Mtuhumiwa number moja awe CAG. Sawa mimi Sina Pesa ila wewe Umefanya ubadhirifu wa Pesa za watanzania. #USINITISHE
  • user avatar
    Welcome to Tanzania Hon Robert Kyagulanyi @HEBobiwine. It's a Pleasure having you at our Governing Council.
  • user avatar
    *BREAKING NEWS* Freeman Mbowe *"Natangaza kuwepo kwa Maandamano yetu ya Amani na Maombolezo kesho Jijini Dar-es-Salaam, tarehe 23 Septemba 2024. Likitokea lolote miongoni mwetu, wengine tusirudi nyuma. Mkisikia Mbowe nimekamatwa msirudi nyuma. Mkisikia Mbowe nimepigwa risasi
  • user avatar
    Mchungaji Msigwa atakuwa amefurahi baada ya watekaji kumuua Ally Kibao maana alisema kwenye Interview kwamba Mzee Ally Kibao (Med) ni threat kwa Serikali na ni mtu ambae Chadema inamtegemea sana kwenye Strategy. Haya sasa wamemuua nenda kasherekeee si ndo ulichokuwa unataka.๐Ÿ˜ญ
  • user avatar
    Sometimes you need to show people that, You can stand on your feet
  • user avatar
    I have ended in a hospital Bed after being beaten by the police, This all shall pass after 28October @TunduALissu @robertamsterdam
  • user avatar
    Watu wasiojulikana wananifuatilia kuanzia saa kumi jioni, wana nia Ovu ya Kuniteka, ili kesho nisiweze kurudisha fomu, mgombea wa CCM Serengeti ana hali mbaya sana hawezi Kushinda kwenye Sanduku la Kura, the only option ni mimi kutorudisha fomu