user avatar
Big 007❄️
@Big0047
You’re a ghost haunting your footsteps
𓃵
Joined April 2020
Posts
  • Pinned
    user avatar
    Ndoto ni kubwa mchawi uchumi, maboss wanatamani kufadhili Tuzo zitoke Physical ila wanasema tatizo jina Kazi yote imesimaiwa na @Mkuruzenzi, Tuzo Physical Zilizotengenezwa ni Tano na Gharama Si Kitoto malipo ya hizi yamesimamiwa na @Sativa255 na @Thereal_taivina salute kwenu🫡
  • user avatar
    Konda: Ruto fungua nauli Ruto: Kata ya East Africa wote
  • user avatar
    Masanja Simama uongee na Walevi
  • user avatar
    "Sikiliza Muuza Ukwaju.. Mnyama atake asitake tunakaa nae kambi moja, tujue anafanyaga nini"
  • user avatar
    Msako wa kumtafuta ndugu Daudi umeanza Rasmi
  • user avatar
    Wakili Msomi Peter Kibatala, tuoneshe upendo kwake
  • user avatar
    Nikk wa Tano uliwezaje kubeba mikoba ya Kidoti na Hii kichwa ni Empty hivi?
  • user avatar
    Mh kafika America's Got Talent, kama taifa lazima tumpongeze, makofi kwake 👏😁
  • user avatar
    Ndugu Abiria kama mulivyosikia nimeuaga umaskini
  • user avatar
    Big edit hivi Big edit vile Big Edit hapa, nafanya Shwaaa munafurahi munaona kamchezo munahisi mimi kilaza sielewi malengo yenu.. Eniwei Kama Elon sasa Dollar 20 😆😆😂
  • user avatar
    Mlawa una kesi ya kujibu, inabidi uiambie mahakama uliona Black Diary au Black Scania 😂
  • user avatar
    Martinez kaonekana Tandale 😂
  • user avatar
    Haya Daudi tuangalie tena kwa Darubini
  • user avatar
    Update Mpya ya Twitter, Tweet yenye jina la Nchi mfano Tanzania ukilike, like Button inaleta hivi, kwako ipo hivi?