user avatar
AshaDii
@AD_Abinallah
Working at the Intersection of Technology, Internet Governance, Data, Innovation and New Media | An #AI Enthusiastic | Founder & CEO @mediaconvergecy
Dar es Salaam, Tanzania
Born June 23
Joined July 2020
  • user avatar
    Huyu binti ana uchungu hadi you can feel it, usiombe mtu awe na uchungu na kinyongo na wewe hivi iwe sababu ya mahusiano ama lah. Ni kununua laana za rejareja… Sad πŸ’”
    00:00
  • user avatar
    Levels baby! Shikamoo GSM 🫑
    00:00
  • user avatar
    Kwahio wale Mabinti/Wanawake mnakua nao wakati wa Kunywa pombe wote hamna mpango wa kuwaoa?
  • user avatar
    Huwa unafanya nini Mpenzi wako Akijinunisha? πŸ˜…
  • user avatar
    Kwahiyo mshaamua Tshirt ipi kali zaidi? πŸ˜† Yanga - A Simba - B
  • user avatar
    Kwa watu wangu wa karibu, wale who look up to me and those who were offended one way or another. I sincerely apologise. No Excuse. Mnisamehe. Asante πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
  • user avatar
    Unapogundua Mpenzi wako ana Mahusiano na rafiki wako wa karibu, Unachukua hatua ipi?
  • user avatar
    Ni kitu gani ambacho ukiona Kijana mdogo kuliko wewe anafanya unamhurumia na unatamani aache?
  • user avatar
    Ukigundua (kwa ushaidi thabiti) kuwa Mpenzi/Mwenza wako ana Mahusiano na mtu mwingine, unachukua hatua gani?
  • user avatar
    Huwa unatumia mbinu gani kumwambia Mpenzi wako juu ya Mapungufu unayoona wakati wa tendo?
  • user avatar
    Ila Rais ana mtihani sana! Wishing her all the wisdom she can master katika kipindi hiki kigumu πŸ₯Ί
  • user avatar
    Airport nimeombwa Kibali cha kusafiri nje ya nchi. Nikasema passport si hio umeshika?. Nikaambiwa, ya mwajiriwa. It took me a β€œmoment” kumwelewa. Apparently sijui kaona nini kwenye taarifa zangu zikionesha ni mtumishi wa umma 😁 Nilikuwa sijui watumishi bado wanahitaji vibali.
  • user avatar
    Ila hili suala la Gari kuondoka hapohapo baada ya tenguzi, natamani kueleweshwa logic behind. Kwamba Waziri mhusika akikamilishiwa safari ya mwisho inakuaa against sheria. Natamani kuelewa. WHY?
  • user avatar
    Mabinti msihame nyumbani mkiwa wadogo mkajipa mzigo wa kulipa Kodi, it is okay kuishi nyumbani hata kama tayari unafanya kazi.